Mwabukusi ameongoza zoezi la utoaji wa msaada wa kisheria kwa wananchi jijini Arusha, likiwa ni sehemu ya juhudi za serikali katika kuhakikisha haki na usawa vinapatikana kwa wote. Wananchi wamepata fursa ya kupata ushauri wa kisheria, kuelewa haki zao, na kupata mwongozo wa kisheria kutoka kwa wataalamu wa sheria.
Tazama video hii kwa taarifa zaidi na jinsi msaada huu unavyowasaidia wananchi. Usisahau ku-like, ku-comment, na ku-subscribe kwa habari zaidi!
π Eneo: Arusha
βοΈ Huduma: Msaada wa Kisheria kwa Wananchi
#MsaadaWaKisheria #Mwabukusi #HakiKwaWote #Sheria #Arusha #HudumaKwaWananchi