Skip to main content

Maelfu ya Watanzania Wanahitaji Msaada wa Kisheria – Wakati wa Kuchukua Hatua ni Sasa!

Submitted by admin on 26 August 2024

Tunahitaji kuikomboa jamii yetu dhidi ya uelewa mdogo wa sheria na kuhakikisha kila Mtanzania anapata msaada wa kisheria bure. Kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia ipo mstari wa mbele kukuhudumia! Ungana nasi katika safari hii ya kuhakikisha haki inapatikana kwa wote. Haki yako ni msingi wa maendeleo yetu sote!