Waziri wa katiba na sheria Mh dkt Damas Ndumbaro kushoto,Mkuu wa mkoa Arusha Mh Paul Christian Makonda katikati na mwanasheria mkuu wa serikali kulia Mh Hamza johari leo mkoani Arusha katika uzinduzi wa kampeni ya kisheria.
@samia_suluhu_hassan @kassim_m_majaliwa @biteko
@hakingowinews @katibanasheria_ #sisinitanzania #maendeleo #tanzaniampya #sisinitanzaniampya #tanzaniayetu #tanzanianamaendeleo #tanzania #samiasuluhu #ssh #sisinitanzaniamakini #sisinitanzania #tanzaniabora #millardayo #updates #news #habari #habarimpya