Skip to main content

Video

Posted:
Migogoro ya ardhi inaepukika kabisa pale wananchi wanapopata elimu sahihi ya sheria za ardhi na kufuata taratibu halali za umiliki. Changamoto nyingi zinazohusiana na ardhi hutokana na ukosefu wa taarifa, mikataba isiyo rasmi, na kutozingatia sheria zilizopo. Katika video hii utajifunza: Sababu…
Posted:
Mchango wa Chama cha Wanasheria Tanzania (TLS) umeendelea kudhihirika kwa kiwango kikubwa katika kupunguza migogoro ya ardhi mkoani Morogoro, migogoro ambayo imeendelea kuwa changamoto kubwa kwa wananchi wengi. Akizungumza katika kliniki ya msaada wa kisheria, Wakili wa Kujitegemea na Wakili…
Posted:
Wananchi wametakiwa kutumia mtandao (eRITA) kuomba usajili wa vyeti vya kuzaliwa na vifo, huduma ambayo imeboreshwa na Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) ili kurahisisha huduma kwa watanzania kote nchini. Mfumo huu wa mtandaoni unalenga kutoa huduma kwa haraka, kwa uwazi, na kwa gharama…
Posted:
Vyeti sasa vinapatikana ndani ya masaa 48 kupitia programu maalumu iliyoanzishwa na Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA). Hatua hii inalenga kuboresha huduma kwa wananchi kwa kurahisisha upatikanaji wa vyeti muhimu kwa haraka na kwa njia ya kidijitali. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa…
Posted:
Migogoro ya ardhi inaepukika kabisa pale wananchi wanapopata elimu sahihi ya sheria za ardhi na kufuata taratibu halali za umiliki. Changamoto nyingi zinazohusiana na ardhi hutokana na ukosefu wa taarifa, mikataba isiyo rasmi, na kutozingatia sheria zilizopo. Katika video hii utajifunza: Sababu…
Posted:
Mchango wa Chama cha Wanasheria Tanzania (TLS) umeendelea kudhihirika kwa kiwango kikubwa katika kupunguza migogoro ya ardhi mkoani Morogoro, migogoro ambayo imeendelea kuwa changamoto kubwa kwa wananchi wengi. Akizungumza katika kliniki ya msaada wa kisheria, Wakili wa Kujitegemea na Wakili…
Posted:
Wananchi wametakiwa kutumia mtandao (eRITA) kuomba usajili wa vyeti vya kuzaliwa na vifo, huduma ambayo imeboreshwa na Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) ili kurahisisha huduma kwa watanzania kote nchini. Mfumo huu wa mtandaoni unalenga kutoa huduma kwa haraka, kwa uwazi, na kwa gharama…
Posted:
Vyeti sasa vinapatikana ndani ya masaa 48 kupitia programu maalumu iliyoanzishwa na Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA). Hatua hii inalenga kuboresha huduma kwa wananchi kwa kurahisisha upatikanaji wa vyeti muhimu kwa haraka na kwa njia ya kidijitali. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa…
Posted:
Huduma ya Msaada wa Kisheria inaendelea mkoani Morogoro kwa lengo la kuwafikia wananchi moja kwa moja na kuwapatia elimu ya sheria, ushauri wa kisheria, na msaada wa kutatua changamoto mbalimbali za kisheria wanazokutana nazo katika maisha ya kila siku. Kupitia mpango huu, wananchi wanapatiwa…
Posted:
Hayo yamesemwa leo na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Adam Kighoma Malima, akiwa mbele ya Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera, wakati wa Kliniki ya Msaada wa Kisheria iliyofanyika mkoani Morogoro. Kupitia kliniki hii, wananchi wamepata fursa ya: Kupata ushauri wa kisheria bure…
Posted:
Awamu ya Kwanza ya Mpango wa Msaada wa Kisheria kwa Wananchi (MSLAC) imefanikiwa kuwafikia zaidi ya Watanzania 3,734,157 kote nchini, ikiwa ni hatua kubwa katika kuhakikisha wananchi wanapata haki, elimu ya sheria, na msaada wa kisheria kwa wakati. Katika hatua nyingine, Waziri ametoa maelekezo…
Posted:
Hayo yamesemwa leo na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Adam Kighoma Malima, akiwa mbele ya Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera, wakati wa Kliniki ya Msaada wa Kisheria iliyofanyika mkoani Morogoro. Kupitia kliniki hii, wananchi wamepata fursa ya: Kupata ushauri wa kisheria bure…