Amon Mpanju Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Tanzania. Kupitia kampeni hii, serikali inalenga kuimarisha upatikanaji wa haki kwa wote kwa njia ya elimu sahihi na huduma rafiki, zinazoeleweka na kufikika kirahisi kwa wananchi wa kawaida.
🎯 Lengo: Haki kwa wote – si kwa wachache pekee!
📍 Mkoa: Kagera
💡 Kampeni: Mama Samia Legal Aid Campaign
Tazama video hii ujue jinsi kampeni hii inavyowabadilisha watu na jamii kwa ujumla.
🔔 Subscribe, like, na share kufikisha ujumbe huu kwa kila Mtanzania.
#esthermsambazi #kampeniyamamasamia #msaadawakisheria #hakikuwote #kagera #wanawake #watoto #ulemavu #elimuyasheria