Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, aliongoza uzinduzi huo kwa niaba ya Waziri wa Katiba na Sheria. Katika hotuba yake, Mtanda aliwahimiza wakazi wa Mwanza kujitokeza kwa wingi ili kupata msaada wa kisheria unaotolewa kupitia kampeni hii.
@airtanzania_atcl @arusha_nationalpark #sisinitanzania #maendeleo #tanzaniampya #sisinitanzaniampya #tanzaniayetu #tanzanianamaendeleo #tanzania #samiasuluhu #ssh #sisinitanzaniamakini #sisinitanzania #tanzaniabora #millardayo #updates #news #habari #habarimpya