Skip to main content

Kampeni ya msaada wa kisheria nchini Tanzania ni juhudi maalum inayolenga kuwawezesha wananchi kuelewa haki zao za msingi na kuwapatia msaada wa kisheria bila ubaguzi

Submitted by admin on 30 December 2024

Kampeni hii inalenga kuwafikia makundi yote ya jamii, hasa wale walioko pembezoni ambao mara nyingi hukosa fursa ya kutetea haki zao kwa sababu ya changamoto za kiuchumi na ukosefu wa uelewa wa kisheria.

Kampeni hii ni sehemu ya mpango wa kitaifa wa kuimarisha upatikanaji wa haki kwa kila Mtanzania kupitia elimu ya sheria, msaada wa kisheria wa bure, na ushauri wa kitaalamu kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu haki za binadamu, ardhi, ajira, ndoa, na mirathi. #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan @ikulu_mawasiliano @dr_philip_isdor_mpango

@katibanasheria_ @profkabudipjam @victoria_mwanziva @tanganyikalawsociety @boniface_a_k_mwabukusi