Maafisa Maendeleo ya Jamii-Dawati la Msaada wa kisheria wameendelea kutoa Elimu ya Msaada wa kisheria, ukatili wa Kijinsia, Haki za binadamu, haki za makundi mbalimbali na namna kutoa taarifa dhidi ya vitendo vya ukatili wa Kijinsia katika shule ya Msingi Mkimbizi.
#MSLAC
#Katibanasheria
#SSH
#siondototena
#sisinitanzania
#sisindiowajenziwataifaletu
#nchiyangukwanza
#hayanimatokeochanya
#kaziiemdelee