Skip to main content

Kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia inatoa ushauri na msaada kwa wananchi kuhusu haki ya kumiliki mali na faragha ya familia

Submitted by admin on 5 August 2024

Hii inajumuisha migogoro ya ardhi na ndoa, kwa mujibu wa Ibara ya 24 na 16 za Katiba ya Tanzania. #MSLAC #Katibanasheria