Dar es Salaam? Pata msaada wa kisheria kutoka Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia viwanja vya 77. Huduma za migogoro ya ardhi, ndoa, mirathi, na ukatili wa kijinsia zinapatikana bure! Fika kwenye banda letu leo! #MSLAC #SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #SisiniTanzania