Skip to main content

Katiba inatambua haki ya kila mtu kutoa mawazo yake na kushiriki kikamilifu katika uendeshaji wa shughuli za umma

Submitted by admin on 12 July 2024

Kupitia msaada wa kisheria, wananchi wanapata nafasi ya kuwakilishwa kisheria na kushiriki kikamilifu katika mchakato wa kisheria. #MSLAC #Katibanasheria