Skip to main content

Katika jukumu la Kuelimisha Umma kuhusu Haki za Kisheria na Taratibu za Sheria

Submitted by admin on 11 November 2024

Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (MSLAC) inalenga kuwapatia wananchi uelewa wa msingi wa haki zao na namna ya kuzitetea kwa mujibu wa sheria za Tanzania. #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM