Kampeni hii imepokelewa vizuri na wananchi wa maeneo husika, hasa katika kata ya Kiberege, ambako wengi wamejitokeza kwa wingi kupokea elimu hiyo muhimu. Hatua hii inaonyesha mwitikio mkubwa wa jamii kuelewa haki zao na namna ya kuzilinda. #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan @ikulu_mawasiliano