Skip to main content

KUELEKEA UZINDUZI WA MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIN MKOANI SINGIDA

Submitted by admin on 9 January 2024

Kuelekea uzinduzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ijulikanayo kama Mama Samia Legal Aid Campaign hapo kesho mkoani Singida, leo hii wasajili na wadau wa msaada wa kisheria mkoa wa Singida wamekutana na kujadili utekelezaji wa kampeni hiyo. 

@samia_suluhu_hassan @katibayawatu @katibanasheria_ @pindi.chana @matokeochanya