Skip to main content

KUTOKA HANDENI TANGA HALMASHAURI YA MJI HANDENI

Submitted by admin on 5 January 2025

Maafisa maendeleo dawati la msaada wa kisheria Wakitoa elimu ya msaada wa kisheria kwa wananchi wa mtaa wa barabara ya moto kata ya mdoe ,elimu imepokelewa kwa shangwe na wameahidi kutoa ushirikiano na kuwa mabalozi kwa wengine juu ya uwepo wa dawati la msaada wa kisheria 

#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan @ikulu_mawasiliano @dr_philip_isdor_mpango@biteko

@katibanasheria_ @profkabudipjam @Victoria

.mwanziva @tanganyikalawsociety @boniface_a_k_mwabukusi