Shule hii ya sekondri ipo Kata ya Mtwivila, Mtaa wa Mwautwa katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa mjini na kutoa Elimu juu ya Ukatili wa Kijinsia Haki za watoto na Msaada wa kisheria kwa Wanafunzi na Walimu Shuleni hapo.
#MSLAC #KatibanaSheria #SSH #CCM #KaziIendelee #NchiyanguKwanza #SisiniTanzania #MatokeoChanya