Mbali na utoaji Elimu ya Msaada wa Kisheria pia migogoro mbalimbali ilisikilizwa kutoka kwa wananchi wa jamii ya vijiji vya Muslur na Mamagi ambapo baadhi ya migogoro ilitatuliwa na mingine inahitaji ufuatiliaji zaidi.
@samia_suluhu_hassan @kassim_m_majaliwa
@hakingowinews @katibanasheria_ #sisinitanzania #maendeleo #tanzaniampya #sisinitanzaniampya #tanzaniayetu #tanzanianamaendeleo #tanzania #samiasuluhu #ssh #sisinitanzaniamakini #sisinitanzania #tanzaniabora #millardayo #updates #news #habari #habarimpya