Ambalo kimkoa linafanyika halmashauri ya wilaya ya msalala, kata ya bugarama katika ukumbi wa Carebean.
Mada mbalimbali zilizo tolewa ni kama ifuatavyo;
1. Elimu ya msaada wa kisheria.
2. Malezi na makuzi.
3. Mwanamke na uongozi.
4. Afya ya akili.
5. Uwezashaji kiuchumi.
MSLAC walipata fursa ya kutoa elimu ya msaada wa kisheria kwa wanawake walioshiriki kongamano hili.
#MSLAC #KatibanaSheria #SSH #CCM #KaziIendelee #NchiyanguKwanza #SisiniTanzania #MatokeoChanya