Elimu iliyotolewa ilihusu:
Maana na umuhimu wa Kampeni ya Mama Samia ya Msaada wa Kisheria (MSLAC)
Masuala yanayoshughulikiwa na kampeni hiyo
Ukatili wa kijinsia na jinsi ya kuzuia
Athari za mimba za utotoni
Madhara ya matumizi mabaya ya teknolojia na mitandao
Haki za binadamu na mtoto
Wanafunzi walishukuru kwa elimu hiyo na kuahidi kuwa mabalozi wa kuhamasisha jamii kulinda haki na kupinga ukatili wa aina zote. Pia, walitoa pongezi kwa DRSSH kwa kuwafikishia huduma hii muhimu shuleni kwao.
#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan @ikulu_mawasiliano @dr_mpango