Lengo kuu la elimu hiyo ni kuhakikisha haki za binadamu na makundi yenye uhitaji maalum wa msaada wa kisheria zinalindwa na kutetewa.
Elimu hiyo ilihusu masuala muhimu kama haki za mirathi, ndoa, ukatili wa kijinsia, matunzo ya watoto, na namna ya kushughulikia migogoro mbalimbali. Kupitia elimu hii, wananchi walihamasishwa kutumia njia mbadala za usuluhishi kama vile upatanishi, maridhiano, na mashauriano ili kupunguza mrundikano wa kesi mahakamani. #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan @IkuluMawasiliano