Skip to main content

MAAFISA WAUNGE MKONO JITIHADA ZA KISERIKALI ILI KUHAKIKISHA MSAADA WA KISHERIA UNAENDELEA KUTOLEWA.

Submitted by admin on 13 June 2024

Bi. Veronica Sigalla akimwakilisha Mkurugenzi mkazi wa UNDP hapa nchini amelishukuru Jeshi la Magereza kwa kazi kubwa wanayofanya kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi kwa kupunguza kasi kubwa ya malalamiko ya ukiukwaji wa Haki za binadamu kwani bila uongozi mzuri na dhabiti lisingewezekana,pia amewaomba maafisa hao kuendelee kuunga mkono jitihada za kiserikali ili kuhakikisha msaada wa kisheria unaendelea kutolewa.