Skip to main content

MASLAC BAGAMOYA

Submitted by admin on 21 March 2025

Maafisa maendeleo ya jamii halmashauri ya wilaya ya bagamoyo wameshiri kikao kati ya viongozi wa Azam bagamoyo sugar na wananchi wanaoishi karibu na kiwanda hicho  ambapo tulitoa elimu kuhusu ukatili wa kijinsia ,haki za binadamu na mirathi.

@samia_suluhu_hassan @kassim_m_majaliwa

@hakingowinews @katibanasheria_ #sisinitanzania #maendeleo #tanzaniampya #sisinitanzaniampya #tanzaniayetu #tanzanianamaendeleo #tanzania #samiasuluhu #ssh #sisinitanzaniamakini #sisinitanzania #tanzaniabora #millardayo #updates #news #habari #habarimpya