Skip to main content

MKUTANO WA MAWAZIRI WA SHERIA WA JUMUIYA YA MADOLA TANZANIA

Submitted by admin on 8 March 2024

Mkutano wa Mawaziri wa Sheria wa Jumuiya ya Madola una umuhimu mkubwa kwa wananchi wa kawaida wa nchi wanachama, kwani unachangia katika kuboresha mifumo ya sheria na haki, kupunguza ubaguzi, kukuza usawa. #MSLAC #Katibanasheria #Katibayawatu