Skip to main content

MKUTANO WA MAWAZIRI WA SHERIA WA JUMUIYA YA MADOLA TANZANIA

Submitted by admin on 8 March 2024

Mkutano wa Mawaziri wa Sheria wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Madola unaomaliziaka leo Huko Zanzibar. Mkutanao huo unatarajiwa kufungwa na Rais wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Hassan Ali Mwinyi.

Image

 Image

Image