Skip to main content

MORO DC - MOROGORO FEBRUARY 2025

Submitted by admin on 18 February 2025

Image

Dawati la msaada wa kisheria halmashauri ya wilaya ya Morogoro wamefanikiwa kushiriki kikao pamoja na mkuu wa idara ya maendeleo ya jamii ambacho kilikuwa na lengo la kuwajengea uwezo wana vikundi wote wa Kijiji cha Mvuha ili wawe na uelewa juu ya maswala mazima ya mikopo ya 10% na kuelimishwa juu ya uwepo wa  Dawati la msaada wa kisheria kupitia kampeni ya msaada wa kisheria wa Mama Samia.

Image #MSLAC #KatibanaSheria #SSH #CCM #KaziIendelee #NchiyanguKwanza #SisiniTanzania #MatokeoChanya