- Hupunguza tofauti kati ya matajiri na maskini katika kupata haki.
- Hukuza usawa wa kijinsia kwa kuhakikisha kuwa wanawake na watoto wanapewa msaada wa kutetea haki zao dhidi ya ukatili wa kijinsia au unyanyasaji.
#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan Ikulu Tanzania