Msaada wa kisheria ndani ya maonesho ya Nane Nane yanalenga kuhakikisha kuwa wananchi wanapata elimu ya sheria, huduma za ushauri, na ufumbuzi wa matatizo mbalimbali ya kisheria wanayokumbana nayo katika maisha yao ya kila siku. #MSLAC #Katibanasheria #Ikulu