Skip to main content

MSLAC IKIPAMBANIA HAKI ZA BINADAMU

Submitted by admin on 21 March 2024

MSLAC inajitahidi kupigania haki za binadamu na kufanya kazi na mashirika mengine ya kiraia na serikali ili kuboresha mfumo wa sheria na kuhakikisha upatikanaji wa haki sawa kwa kila mtu. #MSLAC