Skip to main content

MSLAC kutoa huduma za kisheria kwa lengo la kuimarisha amani katika jamii

Submitted by admin on 6 November 2024

Lengo kuu ni kuhakikisha kuwa wananchi wanapata haki zao kwa njia za kisheria, jambo ambalo husaidia kuondoa migogoro inayoweza kusababisha mvutano au vurugu. #MSLAC #Katibanasheria #CCM #Nchiyangukwanza