Skip to main content

MSLAC NDANI YA ZANZIBAR

Submitted by admin on 22 April 2025

Zanzibar, 23 Aprili 2025 - Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora, Mheshimiwa Dkt. Haroun Ali Suleiman akiwasili katika viwanja vya mkwajuni mkoa wa kaskazini unguja unapo fanyika uzinduzi wa kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama samia(MSLAC ).