Skip to main content

NCHI HUONGOZWA KWA SHERIA NA SI KWA HISIA ZA WATU BINAFSI.- KHAMIS ABDALA ALLY

Submitted by admin on 15 May 2025

βœ… Umuhimu wa elimu ya sheria kwa mwananchi wa kawaida

βœ… Jinsi MSLAC inavyobadilisha maisha ya Watanzania kupitia msaada wa kisheria

βœ… Hatua za kujijengea ujasiri wa kudai haki yako

βœ… Kwa nini katiba ndiyo dira ya taifa, si matakwa ya mtu binafsi

πŸ’¬ Usikose kuchangia maoni yako, subscrib(e) ili kupata taarifa zaidi kuhusu haki, sheria na maendeleo ya kweli!

#MSLAC #HakiNiUjasiri #KatibaKwanza #SheriaSiHisia #MamaSamiaLegalAid #TanzaniaYetu