Skip to main content

Ni katika muendelezo wa utekelezaji wa utoaji Huduma ya msaada wa kisheria Team ya afisa maendeleo ya jamii dawa la msaada wa kisheria kutoka halmashauri (W) Rorya -Mara ilitua kata ya Bukura kijiji cha Bubombi na Kirongwe

Submitted by admin on 13 February 2025

Image

Wananchi walipata kujuzwa juu uwepo wa dawati hilo la msaada wa kisheria ndani ya Halmashauri yao na namna linavyotenda kazi,nakupitishwa kwenye mada mbali mbali kama vile,Sheria ya Ardhi, Sheria ya ndoa, Mirathi na wosia, Ukatali wa kijinsia, utatuzi wa migogoro pamoja na haki za watoto.

Image

Image