Skip to main content

SASA NI ZAMU YA NJOMBE

Submitted by admin on 26 May 2024

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977)

- Ibara ya 13: Inatoa haki ya usawa mbele ya sheria na uhuru wa kupata haki kwa usawa bila ubaguzi wowote. 

- Ibara ya 14: Inatoa haki ya kuishi na kupata ulinzi wa maisha.

- Ibara ya 15: Inatoa haki ya uhuru wa kutembea na kuishi popote ndani ya jamhuti ya muungano wa tanzanianchi.

Image

Image