👉 Huduma ya Msaada wa Kisheria BURE inakuja kwa nguvu!
Unakabiliwa na changamoto za kisheria kama migogoro ya ardhi, mirathi, ndoa, ajira, ukatili wa kijinsia, mikataba, au kesi za jinai?
MSLAC (Samia Legal Aid Campaign) inakuletea Msaada wa Kisheria BURE siku ya Ijumaa, Tarehe 01 Machi 2024
Katika viwanja vya Sheikh Amri-Abed.
Wanasheria na wataalamu wa sheria watakushauri na kukusaidia BILA MALIPO!
Tambua haki zako na jinsi ya kuzitetea!**
Jifunze njia bora za utatuzi wa migogoro bila kwenda mahakamani!
Usikose fursa hii adhimu ya kupata haki yako bila gharama!
Pata msaada wa kisheria—Tujenge jamii yenye haki na usawa!
#MSLAC #MsaadaWaKisheriaBure #HakiKwaWote @ikulu_mawasiliano @samia_suluhu_hassan
@damasndumbaro_official @katibanasheria_ #mslac #mslactanzania #katibanasheria #msaadawasheria #Mbeya