Skip to main content

πŸ…»πŸ…ΈπŸ†…πŸ…΄ πŸ”΄ UZINDUZI WA KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA (MSLAC) MKOANI ARUSHA – 04 MACH 2025

Submitted by admin on 4 March 2025

Jiunge nasi moja kwa moja kwa tukio kubwa la uzinduzi wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (MSLAC) mkoani Arusha! Kampeni hii inalenga kutoa msaada wa kisheria kwa wananchi, hususan wanawake, vijana, na makundi yenye uhitaji ili kuhakikisha haki inapatikana kwa wote.

πŸ“ Mahali: Arusha, Tanzania

πŸ“… Tarehe: 04 Machi 2025

⏰ Muda: Kuanzia asubuhi

Usikose kufuatilia moja kwa moja ili kushuhudia hatua hii muhimu ya kuimarisha upatikanaji wa haki kwa wote!

#MSLAC #MamaSamia #MsaadaWaKisheria #HakiKwaWote #Arusha