Skip to main content

Wakili wa Serikali kutoka Wizara ya Katiba na Sheria George Onyango akitoa elimu ya Kisheria kwa wajumbe zaidi ya 1,000 wa Kamati za Siasa na kamati za utekelezaji ngazi za matawi Manispaa ya Songea leo Mei 12, 2025.

Submitted by admin on 12 May 2025

Image

Image

Image