Skip to main content

WANANCHI ARUSHA WAITIKA, UZINDUZI KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA.

Submitted by admin on 28 March 2025

Picha za wananchi waliojitokeza kwenye Uzinduzi wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Mama Samia Legal Aid Campaign) kwa Mkoa wa Arusha, uzinduzi unaofanyika katika Uwanja wa Ngarenaro leo, Machi 28, 2025.

Image

Image

Mgeni Rasmi katika uzinduzi huu ni Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt Dkt. Damas Ndumbaro