Makamu Mwenyekiti Taifa na Mwenyekiti Mkoa wa Singida,wa chama cha wanaume wanaiofanyiwa vitendo vya ukatili hapa nchini, Bw. Selema akitoa uzoefu wa ukatili wa kinjinsia kwa wanaume, katika kikao cha wananchu kikichofanyika katika viwanja vya Stendi Kata Makiungu na Mghaa wilayani Ikungu.