Skip to main content

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa amewasili katika viwanja vya Madini, Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa Lindi na kupokelewa na Viongozi wa Dini na Serikali

Submitted by admin on 19 February 2025

Amewasili hapo kwa ajili ya kushiriki katika Uzinduzi wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria.