"Wizara ya Katiba na Sheria imeendelea kutekeleza kwa mafanikio maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, yanayolenga kuboresha mifumo ya utoaji haki, kuimarisha utawala wa sheria, na kuhakikisha haki inapatikana kwa wote bila ubaguzi."
Bi- Ester Msambazi
Mkurugenzi MSLAC