Skip to main content

"WIZARA YA KATIBA NA SHERIA YATEKELEZA MAELEKEZO YA MHE. RAIS SAMIA". BI.ESTER , MKURUGENZI MSLAC

Submitted by admin on 14 January 2025

"Wizara ya Katiba na Sheria imeendelea kutekeleza kwa mafanikio maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, yanayolenga kuboresha mifumo ya utoaji haki, kuimarisha utawala wa sheria, na kuhakikisha haki inapatikana kwa wote bila ubaguzi."

Bi- Ester Msambazi

Mkurugenzi MSLAC