Mama huyo ameporwa shamba na nyumba, hali ambayo imezidi kumuweka katika mazingira magumu ya maisha.
Afisa huyo alifika kutoa usaidizi wa kisheria na kijamii, akilenga kuhakikisha haki ya mama huyo inalindwa na kwamba anapata mali zake alizonyang’anywa kinyume na sheria. Hatua hii ni sehemu ya jitihada za Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali kusaidia makundi yaliyo hatarini na kuhakikisha ustawi wa familia zinazoishi katika changamoto kama hizi. #MSLAC. #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan @IkuluMawasiliano