Mama Samia Legal Aid Campaign
Yaliyojiri
Posted:
#MSLAC #katibanasheria @Sheria_Katiba @sisiniTanzania @SuluhuSamia
Posted:
- Kupunguza umasikini kwa kutoa mwongozo kuhusu masuala ya ajira, mikataba ya kazi, na fidia kwa wafanyakazi. - Kujenga jamii yenye maarifa ya kisheria, hivyo kuongeza uwajibikaji na ustawi wa kijamii. #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #…
Posted:
- Hupunguza tofauti kati ya matajiri na maskini katika kupata haki. - Hukuza usawa wa kijinsia kwa kuhakikisha kuwa wanawake na watoto wanapewa msaada wa kutetea haki zao dhidi ya ukatili wa kijinsia au unyanyasaji. #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #…
Posted:
Ni mwongozo unaosaidia wananchi kufahamu haki zao za kisheria na jinsi ya kuzitetea. Katika jamii, unyanyasaji wa aina mbalimbali, kama vile unyanyasaji wa kijinsia, unyanyasaji wa watoto, na hata unyanyasaji wa kiuchumi, umeendelea kuathiri maisha ya watu wengi. Hali hii mara nyingi huchangiwa na…
Posted:
HAPA ni muendelezo wa utoaji wa msaada wa kisheria, kwa wakazi wa kijiji cha Gabimori na kyangasaga vilivyopo kata ya Kyangasaga Wilaya ya Rorya Mkoani Mara,wananchi wanapata kujuzwa sheria ya ardhi, Sheria ya ndoa,Mirathi na wosia,Ukatili wa kijinsia pamoja na haki ya mtoto.#MSLAC #sheria
Posted:
Kifungu cha 15(1) cha Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kinatoa dhamana ya msingi kwa kila mtu kuwa na haki ya kuishi na kupata usalama wa maisha yake. Hii ni nguzo muhimu inayohakikisha kila mtu ana fursa ya kuishi kwa heshima, bila hofu ya kudhulumiwa au kuathiriwa na vitendo vyovyote…
Posted:
Toa maoni yako ..... Kisha wasiliana nasi kwa namba 0262160360 kupata msaada wa kisheria Bure! #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan Ikulu Mawasiliano Ikulu Mawasiliano
Posted:
#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan @ikulu_mawasiliano @dr_philip_isdor_mpango @biteko@katibanasheria_ @profkabudipjam @Victoria.mwanziva @tanganyikalawsociety @boniface_a_k_mwabukusi
Posted:
Kijiji cha Mlogolo kilichopo katika Wilaya ya Sikonge kimeandika historia mpya baada ya kupokea elimu ya msaada wa kisheria kupitia kampeni ya Samia Legal Aid Campaign (MSLAC). Elimu hii ilitolewa wakati wa mnada maarufu unaowakutanisha wakazi wa vijiji mbalimbali vya Sikonge, lengo likiwa ni…
Posted:
#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan
Posted:
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro leo tarehe 8 Januari, 2025 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Japan nchini Tanzania Mhe. Yasushi Misawa alipomtembelea Mhe. Waziri katika Ofisi za Wizara Mtumba jijini Dodoma kwa lengo la kumuaga baada ya kumaliza muda wake nchini.Katika…
Posted:
#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan @ikulu_mawasiliano @dr_philip_isdor_mpango @biteko@katibanasheria_ @profkabudipjam @Victoria.mwanziva @tanganyikalawsociety @boniface_a_k_mwabukusi