Skip to main content

BAHI-DODOMA

Submitted by admin on 6 February 2025

LEO TAREHE 6.2.2025 

Katika Halmashauri ya wilaya ya Bahi imefanyika Hafla ya kukabidhiwa vyumba vya madarasa na utoaji tuzo kwa waandishi wa habari kwa mradi wa shule bora ambapo pia Maafisa Maendeleo kutoka Dawati la Msaada wa Sheria waliudhuria.

Image

Image

Mgeni rasmi ni Waziri TAMISEMI ndugu Mohamed Mchengerwa na mkuu wa mkoa wa Dodoma Rose Senyamule. Pia viongozi wa dini mbalimbali wamehudhuria, viongozi wa CCM, watumishi mbalimbali wa Halmashauri, wananchi, walimu, wanafunzi na kamati ya ulinzi na usalama BAHI

@samia_suluhu_hassan @damasndumbaro_official #SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #matokeochanya #sisinitanzania #SSH