Skip to main content

Elimu kwa wananchi na wafunzi Ikungi mkoani Singida

Submitted by john on 19 January 2024

Timu ya MSLAC Ikungi mkoani Singida ikiendelea kutoa elimu kwa wananchi na wanafunzi katika vijiji vya Kaugeri, Mlandala na Mwaru, Kata ya Mwaru na kufanikiwa kushiriki na kutoa elimu kwenye mkusanyiko wa takribani watu 320 wakati wa dua ya hitima ya mmoja wa mkazi katika kijiji cha Mwaru. Elimu kuhusiana na masuala ya kisheria, Haki na Wajibu inatolewa hadi mashuleni.