Skip to main content

Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia inalenga kuleta mabadiliko chanya katika jamii kwa kuhakikisha kuwa kila mtu anapata haki zake za kisheria kwa njia ya haki

Submitted by admin on 3 July 2024

Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia inalenga kuleta mabadiliko chanya katika jamii kwa kuhakikisha kuwa kila mtu anapata haki zake za kisheria kwa njia ya haki, sawa, na inayozingatia haki za binadamu na usawa. #MSLAC #SamiaSuluhuHassan #PhilipMpango #NEMC #wizarayaafya