Leo tulitembelea sehemu mbalimbali kama masokoni bunju B na bunju A, kwenye vijiwe vya boda boda na bajaji, stendi ya daladala na kufanikiwa kuonana na mwenyekiti wa umoja wa madereva na madereva wake mama lishe wote wa bunju A na B na vikundi mbali mbali vya watu na kuwapa elimu juu ya msaada wa kisheria. #MSLAC @Sheria_Katiba@sisiniTanzania