Maadhimisho haya yamefanyika kwa kushiriki kufanya usafi katika Hospitali ya wilaya ya frelimo iliyopo katika kata ya mwangata mtaa wa muungano.
Hakika imefana sana!
Viongozi mbali mbali wameshiriki ikiwa mkurugenzi wa halmashauri ya manispaa ya iringa, das, jeshi la polisi,magereza , uhamiaji n.k@ikulumawasliano@SuluhuSamia@Sheria_Katiba