Kampeni hii inalenga kutoa elimu ya kisheria, ushauri, na huduma za kisheria kwa wananchi wa maeneo mbalimbali nchini.
Kwa kushirikiana na wadau wa sheria, serikali kupitia MSLAC imekuwa ikifanya kazi ya kufanikisha upatikanaji wa haki kwa kila mtu, hususan wale wanaoishi maeneo ya vijijini, ambako mara nyingi upatikanaji wa huduma za kisheria ni changamoto.
#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan Ikulu Mawasiliano