#MSLAC inawatakia Wakristo wote Ijumaa Kuu njema! Mungu awape baraka tele, furaha, na amani katika siku hii muhimu ya ibada na kutafakari. Ijumaa Kuu iwe mwanzo wa baraka tele katika maisha yenu. Amani na Upendo katika Haki. #MSLAC #Katibayawatu #Katibanasheria