Skip to main content

Mslac Yawafikia Wakazi wa wilaya ya CHEMBA mkoa wa DODOMA

Submitted by admin on 9 December 2024

Dawati la huduma za msaada wa kisheria watoa Elimu juu ya uwepo wao na huduma zitolewazo katika kata ya Chemba wilaya ya Chemba. #Mslac #Wizarayakatibanasheria